Roger Federer ameamua kutoka kwenye mashindano ya Madrid Open baada ya kuumiza mgongo Jumamosi akiwa anafanya mazoezi...Hali ikiendelea poa atacheza Masters ya Rome kuanzia tarehe 9 May mpaka 15...Kwa sasa Federer ni namba 3 duniani...Bofya hapa upate habari zaidi.
0 Yorumlar